Kamusi ya Kiswahili Sanifu (TUKI) 4th Edition
by Oxford
Kamusi ya Kiswahili Sanifu ina historia ndefu. Toleo la kwanza lilichapishwa mwaka 1981. Toleo hili la Nne limeboreshwa na kupangwa upya ili kumwezesha mtumiaji kupata taarifa anayoitafuta kwa urahisi. Toleo hili lina:
• zaidi ya vidahizo vipya 1 000
• kurasa 48 za rangi zenye mada mbalimbali
• zaidi ya methali 500 zilizotolewa maana
• nahau na misemo iliyotolewa maana.

Reviews
Average rating: 5
from 1 review
5 |
1 five star review
|
---|---|
4 |
0 four star reviews
|
3 |
0 three star reviews
|
2 |
0 two star reviews
|
1 |
0 one star reviews
|
anonymous reviewed on 24 Jul 2021
Verified Purchase
Love it
Kitabu kizuri kwa mwanafunzi kujifundisha maana ya maneno.