Korongo na Kobe


Mbarouk S. Habib Paukwa Pakawa ni mfululizo wa visa, mikasa na ngano zilizotungwa ili kuwapa watoto wanaochipuka katika 
mafunzo, chanzo chema. Lugha imerahisishwa na matukio yamepewa msisimuko utakaowafurahisha watoto wote wa nasari, 
pri-uniti hadi darasa la pili, huku wakijimudu katika kuifahamu lunga ya Kiswahili.
Katika Korongo na Kobe, tunawaona marafiki wawili wakitendana. Korongo ajidai ni mwerevu, kumbe Kobe ni mwerevu kumliko. 
Je, hali inakuwaje? Kisa hiki kitawafunulia mengi watoto kuhusu tabia zao.
 

KES 150 KES 228
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 3,000
Free click & collect
UPC2010143000194
ISBN 9789966468017
SKU2010143000194

Reviews

Leave a product review
or cancel