Maajabu!
by Story Moja
by Muchemi
Watoto huvutiwa zaidi na hadithi za kustaajabisha hasa za kubuni. Akili zao changa huamini wanayosimuliwa bila kudadisi, hali inayowafanya kufuatilia hadithi kwa makini. Katika kitabu hiki, mwandishi amelenga matukio yasiyo ya kawaida ambayo, bila shaka, yatawachekesha wasomaji. Mbali na kuwaburudisha, hadithi hii itawafundisha watoto msamiati wa wanyama, majina ya vyumba tofauti katika nyumba pamoja na kazi zinazofanywa nyumbani.
KES 400
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect