Maajabu!

by Story Moja

by Muchemi


Watoto huvutiwa zaidi na hadithi za kustaajabisha hasa za kubuni. Akili zao changa huamini wanayosimuliwa bila kudadisi, hali inayowafanya kufuatilia hadithi kwa makini. Katika kitabu hiki, mwandishi amelenga matukio yasiyo ya kawaida ambayo, bila shaka, yatawachekesha wasomaji. Mbali na kuwaburudisha, hadithi hii itawafundisha watoto msamiati wa wanyama, majina ya vyumba tofauti katika nyumba pamoja na kazi zinazofanywa nyumbani.

ISBN: 9789966066435 SKU: 2010143000851
KES 400
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect

Reviews

This product does not have any reviews yet.

Add your review