Made Familiar: Ndoto za Juma na bintiheri Level 4


Juma na Bintiheri, ambao ni binamu, wanafunga safari ya Mbuga ya Wanyama ya Tsavo West na Mzima Springs pamoja na wazazi wao. Wanayoshuhudia na kujifunza katika ziara hiyo yanachochea ndoto zao kuhusu kutunza mazingira na kuishi vyema na wanyama wa porini. Pia, yanawafunulia kichemshabongo walichopewa shuleni na mwalimu Kibahaluli. Je, watapata majibu sahihi ya kichemshabongo hicho na kuibuka wanafunzi bora shuleni kwa ubunifu? Jiunge na Juma na Bintiheri katika safari hii ya kiuhalisia na kifantasia iliyojaa vitushi, patashika, mafunzo na vichekesho kwa kusoma hadithi hii ya kusisimua.

KES 300
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
UPCBK00000003028
Author ALI ATTAS
ISBN 9789966191342
Publisher STARSHINE STUDENT CENTER
Weight (kg) 0.2
SKUBK00000003028

Reviews

Leave a product review
or cancel