Made Familiar: Sakata za Juma na Bintiheri Level 5


Likizo ya Krismasi ilinukia. Zilibaki kama wiki mbili hivi. Mwalimu Kibahaluli alipepeta fikra zake mapema. Alitaka kuwapa kazi za nyumbani wanafunzi wakati wa likizo yao ndefu. Alijua wanafunzi watapumzika vyema likizoni. Vilevile, hakutaka elimu kushika butu.

Alitaka akili zao zibaki angavu. Kwa hiyo, aliwaza na kuwazua kwa muda. Hatimaye kazi ambayo angewapa wakati wa likizo ilimjia ubongoni...

Juma na Bintiheri, ambao ni binamu, pamoja na rafiki yao Lulu wanapofanya utafiti kuhusu kazi waliyopewa shuleni, wanavumbua njia kadhaa za kujipatia mapato. Je, wazazi na walimu wao watakubali na kuwekeza katika uvumbuzi wao?

KES 325
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
UPCBK00000003032
Author Ali Attas
ISBN STARSHINE STUDENT CENTER
Publisher STARSHINE STUDENT CENTER
Weight (kg) 0.2
SKUBK00000003032

Reviews

Leave a product review
or cancel

Products you recently viewed