Made Familiar: Sakata za Juma na Bintiheri Level 5

by Ali Attas


Likizo ya Krismasi ilinukia. Zilibaki kama wiki mbili hivi. Mwalimu Kibahaluli alipepeta fikra zake mapema. Alitaka kuwapa kazi za nyumbani wanafunzi wakati wa likizo yao ndefu. Alijua wanafunzi watapumzika vyema likizoni. Vilevile, hakutaka elimu kushika butu.

Alitaka akili zao zibaki angavu. Kwa hiyo, aliwaza na kuwazua kwa muda. Hatimaye kazi ambayo angewapa wakati wa likizo ilimjia ubongoni...

Juma na Bintiheri, ambao ni binamu, pamoja na rafiki yao Lulu wanapofanya utafiti kuhusu kazi waliyopewa shuleni, wanavumbua njia kadhaa za kujipatia mapato. Je, wazazi na walimu wao watakubali na kuwekeza katika uvumbuzi wao?

ISBN: STARSHINE STUDENT CENTER SKU: BK00000003032
KES 325
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect

Reviews

This product does not have any reviews yet.

Add your review