Pendo la Karaha
by John Habwe
Pendo la Karaha ni hadithi ya kusisimua iliyosheni chuku na majuto. Kupitia Kudra, mwandishi anasimulia changamoto zinazowakumba vijana wanaotoroka kero ya umaskini barani Afrika na kuhamia katika nchi za ughaibuni; wanakokwenda kuzumbua riziki. Uamuzi wa kuchupia maisha hayo yanayodhaniwa matamu, lakini yaliyo na uchachu mkali unawajutisha. Kudra amenaswa na ulimbo huo. Je, atajipapatua?
KES 597
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect