Storymoja: Uhasidi wa Dama 5A

by Sarah Haluwa


Sidi alipokea zawadi ya kupendeza zaidi kutoka kwa baba yake; hando lenye rangi za upinde wa mvua. Hakuna yeyote katika kijiji chao aliyewahi kuona kitu kama hicho. Alipoamua kuivaa sketi yake mpya kwenye densi ya kijijini, alivunja ahadi aliyoiweka kwa rafiki yake wa chanda na pete, Dama. Kwa kulemewa na wivu, Dama anapanga njama ambayo inahatarisha uhusiano wao. Je, wasichana wawili hao watafanikiwa kuuchagua urafiki wao kuliko vitu vingine wanavyomiliki?

ISBN: 9789966623959 SKU: BK00000004569
KES 450
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect

Reviews

This product does not have any reviews yet.

Add your review