Upande Mwingine


Hivi ndivyo Kimako alivyojipata katika njia panda baada ya miaka hamsini; aukabili ulimwengu wa utoto wake uliogeuka au arudi uhamishoni kusikomweka? Upande Mwingine ni hadithi iligoandikwa kwa lugha ya aina yake. Akiwa amejumuisha vipengee vingi vya mwanadamu katika mwavuli mpana wa mabadiliko, mwandishi amethibitisha tena pahali pake katika safu ya waandishi bora wa Kiswahili.

KES 423
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 3,000
Free click & collect
Author Ken Walibora
ISBN 9780195735574
SKU2010143000560

Reviews

Leave a product review
or cancel