Adhabu ya Siafu


Adhabu ya Siafu ni hadithi inayozindua msururu Adabu na Utiifu' inayolenga kuwaonesha watoto umuhimu wa kufuata maagizo na mawaidha ya wazazi. Ni onyo kwa watoto watukutu wasiofuata maagizo. Baraka na Zawadi, wahusika wakuu katika hadithi hii, wanaadhibiwa vikali na siafu kwa kutofuata ushauri wa wazazi woa Je, unamjua siafu? Kwa kimo chake kidogo hivyo, atatumia mbinu gani kumwadhibu mwanadamu?

KES 190
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 3,000
Free click & collect
Author Zawadi
ISBN 9789966788887
SKU2010143000708

Reviews

Leave a product review
or cancel