Bustani yenye Hazina

by Akberali Manji


Juma na dadake Pili ni kiini cha huzuni kwa wazazi wao. Hawataki kufanya kazi ama kufuata maagizo. Juma lake ni kuchukuana na rafiki yake Yohana kwenda kuwinda na kuzurura siku kutwa. Pili naye uzembe na uchafu ni mazoea yake. Kipi kitawabadilisha wawe watu wa bidii?

ISBN: 9789966472496 SKU: 2010143000395
KES 287
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect