Get it Right Kiswahili Kidato 3 na 4 marudio

by N.P. Kamithi


GET IT RIGHT KISWAHILI KIDATO CHA 3 NA 4 ni kitabu kilichoandikwa kwa ustadi wa kupigiwa mfano. Gharadhi ya kitabu hiki ni kuwajengea wanafunzi wa kidato cha tatu na cha nne msingi imara wa kukabiliana na mtihani wa kitaifa (K.C.S.E), Ni kitabu ambacho kinakamilishana na kujalizana na GET IT RIGHT KISWAHILI KIDATO CHA 1 NA 2. Bila shaka wanafunzi wa kidato cha tatu na cha nne watanufaike pakubwa kutokana na dafina hii iliyotayarishwa kwa weledi mkubwa.

ISBN: 9789966193469 SKU: 2010127000740
KES 850
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect

Reviews

This product does not have any reviews yet.

Add your review