Kamusi Teule ya Kiswahili

by Ahmed E Ndalu, Hamisi Babausa, Suleiman A Mirikau


KAMUSI TEULE ya Kiswahili – Kilele cha Lugha

“Ni zao la utafiti wa kina uliofanywa na waandishi na wanaleksikogrofiawenye tajriba kubwa.

Kamusi hii imetungwa kwa utaalamu mkuu na kwa kuzingatia msomajilengwa.”

Kamusi hii ina;

Maneno ya jumla zaidi ya 320, 000Vidahizo na vibadala zaidi ya 35, 000Picha za kuvutia msomajiEtimolojia ya vidahizoNgeli za manenoWingi wa manenovidahizo vya taaluma mbalimbaliIstilahi za ushairiIstilahi za fasihi andishi

ISBN: 2010127000576 SKU: 2010127000576
KES 1,292
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect