Kisa cha Paka Kupenda Jikoni


Paukwa Pakawa ni mfululizo wa visa, mikasa na ngano zilizotungwa ili kuwapa watoto wanaochipuka katika mafunzo, chanzo chema. 
Lugha imerahisishwa na matukio yamepewa msisimuko utakaowafurahisha watoto wote wa nasari, pri-uniti hadi darasa la pili, 
huku wakijimudu katika kuifahamu lugha ya Kiswahili.
Kisa cha Paka Kupenda Jikoni ni hadithi inayoeleza jinsi Paka alivyoacha kuishi na wanyama wenzake msituni na kuanza kuishi na binadamu. Ni hadithi ya kusisimua na itawaburudisha watoto wote watakaoisoma.

KES 150 KES 183
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 3,000
Free click & collect
UPC2010143000213
ISBN 996646745
SKU2010143000213

Reviews

Leave a product review
or cancel