Longhorn: Sudi na Shada Darasani GD1


Shada na Sudi pamoja na wenzao wamo darasani wanasoma kuhusu aina za rangi. Shada anawauliza wenzake swali kutaka kujua kama wanayaelewa mazingira ya darasani mwao. Je, swali hili linahusu nini? Wanafunzi wanapata jibu lake ama wanashindwa?

Hadithi Mufti za Longhorn ni mfululizo mpya wa hadithi ambazo zimeandikwa kulingana na mtaala mpya. Hizi hadithi zinalenga kukuza ujuzi wa wanafunzi kupitia kwa uvumbuzi wa maarifa na zinaimarisha uelewawao wa masuala ibuka katika jamii. Hadithi hizi sio tu za kuelimisha na kuburudisha, bali pia zimeambatanishwa na mazoezi ambayo yatawasaidia wanefunzi kuimarika kiubunifu, kimawazo na kifikra.

KES 258
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
UPC2010143001096
Author Momanyi
ISBN 9789966641915
Weight (kg) 0.1
SKU2010143001096

Reviews

Leave a product review
or cancel