Made Familiar: Masaibu ya Juma na Bintiheri Level 5


Mapumziko ya Agosti yanakaribia. Mwalimu Kibahaluli anawaambia wanafunzi wake kuwa wazazi wao wamewaandalia ziara ya kukata na shoka. Ziara hiyo haitakuwa ya kiburudani tu bali pia itawafaa katika kupata majibu ya chemshabongo atakayowapa. Juma, Bintiheri na wanafunzi wenzao wanasubiri likizo ya Agosti kwa hamu na ghamu. Je, Mwalimu Kibahaluli atawapa chemshabongo gani mara hii? Je, safari hiyo itawapeleka wapi?

KES 325
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
UPCBK00000003034
Author ATTAS
ISBN 9789914988864
Publisher STARSHINE STUDENT CENTER
Weight (kg) 0.2
SKUBK00000003034

Reviews

Leave a product review
or cancel