Mateso ya Johari


Maisha yanapokuwa magumu kijijini, Johari anasaidiwa na Mzee Magufuli kuiondokea hali hiyo. 
Anapoondoka kijijini, anakumbana na maisha tofauti; maisha yanayotisha na kuzubaisha. Je, bahati yake ataipata mjini? 
Atarejea kijijini? Soma hadithi hii ya kusisimua upate majibu ya maswali haya. Mateso ya Johari ni hadithi inayosimuliwa 
kwa ufundi mkubwa na inayoibua mseto wa hisia. Ina mafunzo adhimu yatakayomfaidi msomaji chipukizi

ISBN: 9966342702 SKU: 2010143000337
KES 406
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect

Reviews

This product does not have any reviews yet.

Add your review