Zimwi Hilo
Mzee Nuru aliwasimulia wanafunzi hadithi ya kusisimua. Hadithi hiyo ilihusu zimwi lililokuwa likiwashambulia
wanakijiji wa Pumbao na kuwaua wengi. Zimwi hilo halikuonekana wala kujulikana. Lilisemekana liliishi katika msitu
mkubwa uliokuwa karibu na kijiji. Vijana waliamua kulisaka zimwi hilo lakini wakaambulia patupu. Kitendawili cha zimwi
kilizua taharuki kijijini. Mkutano uliandaliwa huku kukiwa na shuku na shauku ... Zimwi Hilo ni hadithi iliyojikita
katika fumbo. Hutajua jibu la fumbo lenyewe hadi usome hadithi hii ya kusisimua.
KES 342
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect