Miujiza ya Majini


"Baba! Angalia ziwani. Kuna viboko!” Adamu aliinuka, akasimama haraka huku macho yake yakilenga kule walikoibuka wale viboko. Jelani naye akakurupuka kando ya kaka yake mkubwa. "Jelani, angalia wale viboko kule. Tabia yao si ya kawaida. Wanaonekana wamepagawa," Adamu alisema huku sura yake Ikifinya. Mishale ya msisimko ilimchoma. "Wamepagawa? Mbona sijakuelewa kaka." "Kawaida wakiibuka na kuonyesha tabia hiyo, huwa kuna kiumbe mwingine hatari karibu nao," Adamu alitamka. 

KES 313
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
UPC2010143000914
Author Moran
ISBN 9789966630032
Weight (kg) 0.2
SKU2010143000914

Reviews

Leave a product review
or cancel