Moran Stadi za Kiswahili Grade 8 (Approved)
by Moran
Stadi za Kiswahili ni mfululizo wa vitabu vya kiada vya Kiswahili vilivyoandaliwa kwa kufuata Mtaala wa Kiumilisi. Kitabu hiki kina sifa kuu zifuatazo:
-Kimeandikwa kwa Kiswahili cha kiwango cha mwanafunzi wa Gredi ya 8
-Maswali dadisi yametumiwa kumfikirisha mwanafunzi
-Kimejumuisha shughuli za mwanafunzi binafsi, shughuli za wanafunzi wawiliwawili na za makundi - :
-Kimejumuisha mada na mada ndogo zote
-Yaliyomo yamepangwa kulingana na mpangilio wa Kiswahili Gredi ya 8
-Yaliyomo yamewasilishwa kwa ubunifu wa kiwango cha juu
-Kimeshughulikia matokeo maalum yanayotarajiwa katika Gredi ya 8
-Kimejumuisha umilisi wa kimsingi kwa mujibu wa Mtaala wa Kiumilisi
-Kimeshughulikia masuala mtambuko yote
-Yaliyomo yanakuza maadili yanayopendekezwa katika Mtaala wa Kiumilisi
-Shughuli za ujifunzaji zinakuza stadi za Kusikiliza na Kuzungumza, Kusoma na Kuandika.