Spotlight Kurunzi ya Kiswahili Gredi 8 (Approved)

by Spotlight


Kurunzi ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 8 kimeandaliwa kwa ustadi kuzingatia Mtaala wa Umilisi wa Gredi ya 8. Kitabu hiki kitamwezesha mwanafunzi kumudu stadi za Kusikiliza na Kuzungumza, Kusoma, Kuandika na Sarufi kwa njia inayoafiki kiwango chake.

Yaliyomo

Kitabu hiki cha mwanafunzi kina mazoezi na mijarabu anuwai, kama vile:
-Shughuli kwa Mwanafunzi

-Shughuli ya Wanafunzi Wawiliwawili

-Shughuli ya Vikundi

-Shughuli ya Nyumbani

-Shughuli ya Ziada

-Tamthmini ya Mwisho wa Mada

Kurunzi ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 8 kina Mwongozo wa Mwalimu unaoandamana nacho ili kumwongoza mwalimu na kumpa mapendekezo ya ufunzaji.

ISBN: 9789966573834 SKU: BK00000010651
KES 981
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect