Nachora kwa Maneno


Kabla hata hajapata mtoto, Shangasa aliuchukia umasikini. Siku moja alimfuata mganga maarufu wajadi, jina lake Deberi. Watu wengi walimsifu Deberi kwa utabiri na dawa zake zenye kuleta bahati. Lakini miujiza hiyo haikuwa na maana, bali mazingaombwe tu. Hadithi za Adili zimekusudiwa kuburudisha na kuelekeza. Hiki kimependekezwa kwa madarasa ya juu katika shule za msingi.
KES 313
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
Author Swaleh Mdoe
ISBN 9781957331690
SKU2010143000311

Reviews

Leave a product review
or cancel