Ndege wa amani
by Story Moja
by Ogallo
Wakazi wa vijiji vya Keru na Kairu wanaishi kwa amani hadi wanapokumbwa na kiangazi. Hatimaye, wanaanza kupigania maji ya Mto Kanyaboli. Ndege anawaimbia wimbo wa amani. Je, wanajeshi watautii ujumbe wa ndege?
KES 300
KES 400
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 3,000
Free click & collect