Ngiri Mganga

by Emmanuel kariuki


Ngiri ni mganga anayewapenda wanyama wenzake.anafanya safari za kuchosha msituni kutafuta dawa za kuwatibu.katika moja ya safari hizi anapoteza vikapu viwili vya dawa anapolala kidogo kupumzika.kwa msaada wa bundi anawahi kugundua ni nani mwizi.Nyani.Wote wawili wanafanya ujanja mpaka wanazipata dawa hizo .Wa mbele kunuifaika ngiri anapofika nyumbani ni nyani,ambaye anachekelewa na wanyama wenzake kwa utundu wake.Hii ni moja kati ya hadithi tatu zilizomo kwenye kitabu hiki

ISBN: 9789966472366 SKU: 2010143000234
KES 218
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect

Reviews

This product does not have any reviews yet.

Add your review