Nyani apata funzo

by Story Moja

by Muchemi


Nyani Mkubwa anataka kutambulika kama shujaa. Anawadhihaki wale anaokisia kwamba hawana nguvu kama zake, 
hususan Ndovu na Panya. Wanyama wanapokumbwa na hatari, ni nani anayeitwa kuwaokoa? Je, ni nani anayedhihirisha ushujaa wa kweli?

ISBN: 9789966620675 SKU: 2010143001026
KES 420
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect

Reviews

This product does not have any reviews yet.

Add your review