Nyani apata funzo
by Story Moja
by Muchemi
Nyani Mkubwa anataka kutambulika kama shujaa. Anawadhihaki wale anaokisia kwamba hawana nguvu kama zake,
hususan Ndovu na Panya. Wanyama wanapokumbwa na hatari, ni nani anayeitwa kuwaokoa? Je, ni nani anayedhihirisha ushujaa wa kweli?
KES 420
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect