Siri ya baba yangu kitabu cha kwanza


Ni wakati wa usiku, usiku wa mashetani wakati kijana Fadhili anapozinduka na kumfumania baba yake akiufunga mlango wa chumba chake. Ni baba anayetekeleza mpango wa siri asiofaa kuujua Fadhili.
Fadhili anaamua kukitegua kitendawili cha tukio hilo kwa kujiingiza katika hatari zisizo kifani. Hii ni mojawapo ya hadithi ambayo imefumwa ikafumika mfumo ambao utamshangaza yeyote atakayeisoma.

KES 320
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
UPC2010143000887
Author Yahya Mutuku
ISBN 9789966075604
SKU2010143000887

Reviews

Leave a product review
or cancel