Storymoja Safari ya Chadi 5B

by Storymoja


Je, umewahi kumzuru jamaa yako yeyote lakini ukapanda gari la umma silo? Mwandishi wa hadithi ya Ziara ya Kutisha anasimulia jinsi alivyotatizwa na kuchanganyikiwa — wapi alipokwenda. Je, atamwamini nani amwelekeze njia? Soma hadithi hii, na nyingine za kusisimua, ugundue masaibu ya mwandishi na namna alivyoweza kuyakabili.

ISBN: 9789966624024 SKU: BK00000004568
KES 480
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 3,000
Free click & collect