Storymoja Safari ya Chadi 5B


Je, umewahi kumzuru jamaa yako yeyote lakini ukapanda gari la umma silo? Mwandishi wa hadithi ya Ziara ya Kutisha anasimulia jinsi alivyotatizwa na kuchanganyikiwa — wapi alipokwenda. Je, atamwamini nani amwelekeze njia? Soma hadithi hii, na nyingine za kusisimua, ugundue masaibu ya mwandishi na namna alivyoweza kuyakabili.

KES 480
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 3,000
Free click & collect
UPCBK00000004568
Author Storymoja
ISBN 9789966624024
Publisher Storymoja
SKUBK00000004568

Reviews

Leave a product review
or cancel