Ah! Shangazi Mela 7e


Nanjira anajipata njiani tena,wakati huu kutoka mashambani kuelekea nairobi.Ingawa kumbukumbu za maisha aliyoishi na wazazi wake zinamjia anapopata mjini Naivasha,Ana raha ya kwenda kusomea Nairobi.Nani asingefurahia kusomea jijini?lakini kile ambacho nanjira hajui ni kuwa shangazi yake.mela.Ana mpango tofauti....ah! Shangazi mela ni mojawapo ya hadithi katika mradi w akusoma.Huu ni mradi wa vitabu vya ziada ambayvo vianaambatana na kozi ya kiswahili sanifu

KES 331
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
Author Rebecca Nandwa
ISBN 9780195739473
SKU2010143000741

Reviews

Leave a product review
or cancel