Chanzo cha Kiswahili Kitabu cha Kwanza


Kitabu cha chanzo cha Kiswahili kimekusudiwa kuunda msingi dhabiti wa lugha ya Kiswahili.

Kimeandikwa kuambatana na mfumo mpya wa C.B.C Kwa kuzingatia silabasi ya mfumo huu.

Pia kimenuia kuinua kiwango cha lugha Kwa kutumia mbinu za kusikiliza, kuongea, kusoma na kuandika.

Yaliyomo:

-Mazoezi ya kutosha.

-Hadithi fupi fupi .

-Picha za kuvutia.

-Msamiati wa kukuza lugha.

KES 405
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
UPC2010127000664
Author Smartbrains
ISBN 9780996671781
Publisher Smartbrains
SKU2010127000664

Reviews

Leave a product review
or cancel