Darubini ya Sarufi


Sarufi ndio uti wa mgongo wa lugha. Kwa mtazamo wake na kinachostahili kufunzwa katika ngazi tofauti umekuwa ukibadilika haraka. Matokeo yamekuwa utata mwingi unaowakumba wanafunzi na kwa kiasi fulani waalimu wao. Darubini ya Sarufi kimeandikwa kwa madhumuni ya kushughulikia utata huu na kuboresha matumizi sanifu ya sarufi ya Kiswahili. Pamoja na maelezo na mifano maridhawa, kumetolewa pia mazoezi ya kutosha ya kumsaidia mwenye kukitumia kujitathmini. Kitabu hiki kitakuwa chenye manufaa kwa wanafunzi wa shule za upili na vyuo anuwai. Vilevile kitamfaa mpenzi yeyote wa lugha ya Kiswahili aliye na maswali kuihusu sarufi ya Kiswahili.

KES 754
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
Author Assumpa k.Matei
ISBN 9789966471529
SKU2010127000320

Reviews

Leave a product review
or cancel