Distinction Kipeo cha Kiswahili Grade 6 (Approved)

by Distinction


Kipeo Cha Kiswahili Gredi ya 6 kimeandikwa kwa ajili ya mwanafunzi wa lugha ya kiswahili katika shule ya msingi daraja la juu ili kujenga stadi na umahiri ufaao wa kuwasiliana,kutangamana na kushiriki katika miktadha mbalimbali ya kitaifa,kikanda na kimataifa kwa kutumia lugha kuzungumza na kuandika.Hai hii inatokana na mabadiliko katika mfumo wa elimu 8-4-4 hadi wa umilisi nchini kenya.

ISBN: 9789966122407 SKU: BK00000008687
KES 780
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect