Hadithi za Babu


Katika hiki kitabu cha hadithi za babu,mna hadithi fupi fupi ambazo zitaangazia wanafunzi mengi kuhusu lugha ya kiswahili.hiki kitabu kimetungwa kusaidia mwanafunzi kujifunza kiswahili katika hali ya kujiburudisha.Kuna mengi ya kujifunza toka lugha,msamiati na hata utumishi wa misemo na methali.Mitindo tofauti ya ubunifu iliyotumiwa itawezesha mwanafunzi kuelewa mengi.

KES 210
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
Author Purity kagure
ISBN 2010143000769
SKU2010143000769

Reviews

Leave a product review
or cancel