Huenda Nikabwia Sumu na Hadithi Nyingine

by Zuhura Asman


Kila binti darasani alimwangalia Ali kwa hamu ya kutoka kusemezwa tu. 
Makubwa hayo! Mbona tulikuwa tuliyofanya mambo yaliyostahili kwa wakati ambao 
haukustahili Ni dhahiri shahiri kuwa ulikuwa ni wakati wa kusoma wala si wakati wa kuchumbiana.
Zuhura Asman ni mkereketwa wa Kiswahili anayejikita katika kuendeleza lugha katika viwango vyote. 
Hadithi zake nyingine ni Macho na Mwalimu Wangu Mpenzi

ISBN: 9789966188526 SKU: 2010143000852
KES 260
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect