Kamusi ya Msingi Kiswahili - English -Oxford
Kamusi ya Msingi Kiswahili- English
Je, ungependa kuifahamu lugha ya Kiingereza kama unavyoifahamu lugha ya Kiswahili? Je, ungependa kujua tafsiri za Kiingereza za maneno ya Kiswahili unayoyajua? Basi Kamusi ya Msingi Kiswahili- English itakusaidia.
Kamusi hii ina:
- Mada kuu 27
- Maneno muhimu ya Kiswahili zaidi ya 1,800 na tafsiriza maneno hayo
- Wingi wa nomino
- Mifano rahisi ya sentensi katika Kiswahili na Kiingereza
- Michoro zaidi ya 1,200 ya kupendeza
KES 916

International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
UPC | BK00000001441 |
---|---|
Author | OXFORD KENYA |
ISBN | 9780195748895 |
SKU | BK00000001441 |