Kamusi ya Msingi Kiswahili - English -Oxford


Kamusi ya Msingi Kiswahili- English

Je, ungependa kuifahamu lugha ya Kiingereza kama unavyoifahamu lugha ya Kiswahili? Je, ungependa kujua tafsiri za Kiingereza za maneno ya Kiswahili unayoyajua? Basi Kamusi ya Msingi Kiswahili- English itakusaidia.

Kamusi hii ina:
- Mada kuu 27
- Maneno muhimu ya Kiswahili zaidi ya 1,800 na tafsiriza maneno hayo
- Wingi wa nomino
- Mifano rahisi ya sentensi katika Kiswahili na Kiingereza
- Michoro zaidi ya 1,200 ya kupendeza

KES 916
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
UPCBK00000001441
Author OXFORD KENYA
ISBN 9780195748895
SKUBK00000001441

Reviews

Leave a product review
or cancel