Kisa cha Fumo Liyongo- Hadithi za Mashairi 8
by Wamitila
Kisa cha Fumo Liyongo ni kitabu kinachosimulia hadithi ya Fumo Liyongo, shujaa aliyeishi zamani katika pwani ya Kenya. Hiki ni kisa ambacho kimesimuliwa kwa ustadi na namna ya kumchangamsha msomaji. Soma ujue yaliyompata Liyongo na jinsi alivyoonyesha ustadi mkubwa akipambana na maadui zake. Hii ni mojawapo ya hadithi za kuburudisha kabisa.
KES 153
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 3,000
Free click & collect