Kosa si Kosa?


Lullu Katanga, mwanafunzi wa uanasheria, anajikuta korokoroni kwa mara ya kwanza.Ilikuwaje akajipata humo? Akipatikana na hatia, atahukumiwa kifungo bila dhamana. Shahidi wa pekee anayeweza kumsaidia ni mshiriki ambaye ana hatia chungu nzima. Je, shahidi huyu ataweza kumsaidia kusalimika na kifungo bila mwenyewe kuonekana mkosa?Mwandishi wa tamthilia hii, Kosa si Kosa?, anauliza iwapo kuna haja ya kutafakari upya kuhusu jinsi ya kutatua matatizo; ni kweli kuwa kosa likirudiwa ndiyo kosa? Au kosa la kwanza si kosa?  

KES 522
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
Author Mumbo
ISBN 9780195734782
SKU2010143000585

Reviews

Leave a product review
or cancel