Kosa si Kosa?

by Mumbo


Lullu Katanga, mwanafunzi wa uanasheria, anajikuta korokoroni kwa mara ya kwanza.Ilikuwaje akajipata humo? Akipatikana na hatia, atahukumiwa kifungo bila dhamana. Shahidi wa pekee anayeweza kumsaidia ni mshiriki ambaye ana hatia chungu nzima. Je, shahidi huyu ataweza kumsaidia kusalimika na kifungo bila mwenyewe kuonekana mkosa?Mwandishi wa tamthilia hii, Kosa si Kosa?, anauliza iwapo kuna haja ya kutafakari upya kuhusu jinsi ya kutatua matatizo; ni kweli kuwa kosa likirudiwa ndiyo kosa? Au kosa la kwanza si kosa?  

ISBN: 9780195734782 SKU: 2010143000585
KES 522
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect

Reviews

This product does not have any reviews yet.

Add your review