Mahari na Mali


“Wakati Mlexus alipokuwa akiliendesha gari lake, nilimtupia jicho mara kwa mara. Nilikuwa nimezizoea zile kucha za Chiriku za rangi nyekundu. Za huyu dada zilikuwa za mseto wa rangi tatu: nyeusi, zambarau na mistari mieupe. Michoro hiyo iliambatana na nakshi za rinda lake. Ukiongezea na manukato yale, ungelihisi ukiwa karibu na binti wa sultani - ama kweli uchumi ulikuwa umenionea!”

KES 692
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
UPC2010143000759
Author Emmanuel Kariuki
ISBN 9789966259714
Weight (kg) 0.3
SKU2010143000759

Reviews

Leave a product review
or cancel