Makombe matupu na hadithi nyingine 6C
by Yuda Komora
Makombe Matupu na Hadithi Nyingine (Utamu Kolea 6C) ni kitabu kinachonuiwa kumpa mwanafunzi fursa ya kufanya mazoezi ya kusoma kwa ziada huku akijiburudisha na kujifunza mambo kadhaa muhimu. Kinaweza kutumiwa sambamba na kitabu chochote cha kozi.
KES 336
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 3,000
Free click & collect