Matu atuzwa


Siku iliyofuata, mwanamume aliyekisahau kitabu alirudi dukani na zawadi. Alikuwa amemletea Matu kitabu cha kupendeza. Kitabu chenyewe kilikuwa kimejaa picha za wanyama wa pori. Kilikuwa ni cha watoto na Matu alikipenda sana. Je, ni kwa nini Matu alipewa zawadi ya kitabu?

KES 232
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
Author Mugambi
ISBN 9789966341839
SKU2010143000278

Reviews

Leave a product review
or cancel