Msururu wa Makumba: Safari ya mawimbi


Gajabu ikanguruma vizuri. Kisha kwa upesi sana, Makumba akachapa neno 
'sikioni kwenye kidubwasha cha kukotoa kisha akabofya kitufe cha kukubali. 
Gajabu ikainuka juu na ikaanza kuzunguka kwa kasi sana huku iklanza kuwa ndogo. 
Makumba alizimia ndani ya gajabu. Ungana na Makumba kwenye 
safari ya utalii wa ndani ya sikio la mwanadamu. Msururu wa Makumba ni novela 
bunilizi za kisayansi za kusisimua ambazo zinatolil sayari mwili wa binadamu, 
ndani ya mimea na hata ndani ya ncha ya kalamu Dkt Hamis Babuso ni mhadhiri wa Kiswahili na 
Taaluma ya ufundisha Lugha katika Chuo Kikuu cha Kenyatta Ni mwandishi ambaye 
amechangia katika nyuga mbalimbali za uandishi bunilizi na za
lahadema. Miongoni mwa kazi zake nyingine ni Malumba na Selidamu Nyeupe, 
Makumba katika Safari ya Tonge. Makumba na Majanabi na Makumba katika Siri ya Mwembe
 

KES 320
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 3,000
Free click & collect
UPC2010143000942
Author Hamisi
ISBN 9789966115058
SKU2010143000942

Reviews

Leave a product review
or cancel