Nikicheka anacheka 1b


Nikicheka anacheka 1 b ni kitabu kinachonuiwa kuimarisha msingi wa kusoma na kukuza uwezo Wa kusoma wanafunzi wa Darasa katiko shule za msingi, Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni:  Masimulizi rahisi ya hadithi. Kuondosha hali ya uchofu wa kusoma na kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia nyimbo, vitendawili, picha za rangi za kupendeza na sentensi fupifupi. kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira tofauti tofauti.  Mradi wa Kusoma ni mfututizo wa vitabu vya ziada unaoambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu. 

KES 249
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
UPC2010143000240
Author Oxford
ISBN 9780195730531
Publisher Oxford
SKU2010143000240

Reviews

Leave a product review
or cancel