One Planet Mwenge wa Kiswahili


Mwenge wa Kiswahili (Kitabu cha Mazoezi kwa Shule za Msingi) ni kitabu ambacho kimeandaliwa ili kurahisisha ujifunzaji wa Kiswahili katika shule za msingi.Kitabu hili kmeandikwa kwa lugha rahisi ambayo inamwezesha mwanafunzi kuzielewa dhana mbalimbaili, sikatika mtaala unaozingatia malengo maalumu tu, bali pia katika mtaala wa kiumilisi. Kitabu hiki kimeshughulikia mada kupitia shughuli ambazo zinamhusisha mwanafunzi katika ujifunzaji wenyewe, hali ambayo inarahisisha uelewa wa mada mbalimbali na kumfanya alichangamkie somo la Kiswahili.

KES 830
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
UPCBK00000008590
Author One Planet
ISBN 9789966068835
Publisher One Planet
SKUBK00000008590

Reviews

Leave a product review
or cancel