Asiyesikia la Mkuu (KLB)


Asiyesikia la Mkuu ni hadithi inayopatikana katika mfululizo mpya wa hadithi za Kiswahili za Nasaha Zetu zinazochapishwa na KLB. Hadithi hii ya kusisimua inawatenga wanafunzi wa darasa la nne. Hadithi hii inamlenga mtu asiyependa kufuata ushauri. Kwa kukosa kufuata mawaidha ya wazazi, Madodo atapatwa na yapi? Ungana nasi katika usomaji.

KES 325
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
Author Kobia
ISBN 996644851
SKU2010143000578

Reviews

Leave a product review
or cancel