Ayubu Mashakani

by John Habwe


Ayubu anagundua kwamba kuwa mtoto mbaya hakuna faida yoyote ila kumletea shida tu. Ugunduzi huo unamtoa mashakani na kumletea maisha yenye furaha na raha. Waliomwonea aibu sasa wanamwonea fahari.Ayubu Mashakani (Pepea na Kipepeo 3F) ni kitabu kinachonuiwa kumpa mwanafunzi fursa ya kufanya mazoezi ya kusoma kwa ziada huku akijiburudisha na kujifunza mambo kadhaa muhimu. Kinaweza kutumiwa pamoja na kitabu chochote cha kozi.

ISBN: 9789966498793 SKU: 2010143000368
KES 150 KES 174
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 3,000
Free click & collect

Reviews

This product does not have any reviews yet.

Add your review