Chungu cha Zai


Chungu cha Zai ni hadithi inayopatikana katika mfululizo mpya wa hadithi za Kiswahili za Nasaha Zetu zilizochapishwa na KLB. Hadithi hii inawalenga watoto wa darasa la tano.Katika hadithi hii, jitu moja liiiishi kwenye msitu karibu na kijiji cha Tisha. Wanakijiji wa Tisha walihofia maisha yao. Kwa mfano, hawangeweza kupanda miti kwenye msitu huo kwa minajili ya kuzuia jangwa. Pia, watoto wao walizuiliiwa kwenda shuleni kwani shule yao ilikuwa ng'ambo ya pili ya msitu huo. Je, maisha ya wanakijiji yaliokolewa vipi na Zai kijana hodari?

KES 151
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
Author Atibu Bakari
ISBN 9789966447685
SKU2010143000544

Reviews

Leave a product review
or cancel