Darubini ya Kiswahili kidato 3
by Waihiga
Darubini ya Kiswahili ni mfululizo mpya wa vitabu vinavyofuatilia silabasi mpya ya shule za sekondari ambavyo vina sifa zifuatazo:
- Maelezo ya kina pamoja na mifano ya aina zote za uandishi.
- Ufafanuzi na vielelezo vya makala ya redio na runinga.
- Makala ya magazeti kutoka eneo zima za Afrika Mashariki.
- Maelezo bayana na ufafanuzi wa tanzu mbalimbali za fasihi.
- Vifungu vya ufahamu vyenye mafunzo tele, mawazo mazito na kiwango cha juu cha lugha.
- Maelezo mapana na mifano maridhawa ya vipengele vyote vya kisarufi.
- Mazoezi chungu nzima yatakayomsaidia mwanafunzi kutathmini kiwango chake cha ufahamu.
- Mwongozo wa Mwalimu wenye maelezo na ufafanuzi wa jinsi ya kufunza mada mbalimbali zilizomo, pamoja na majibu ya mazoezi.
- Uwasilishaji wa hatua kwa hatua utakaomfamya msomaji kuelewa yaliyomo bila kutatanika.
KES 789
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect