Jinsi tumbiri alivyopata manyoya
by Story Moja
by Kerubo
Tumbiri na Binadamu ni marafiki wa kufa kuzikana. Wanaishi katika nyumba moja wakipika na kula pamoja.
Tumbiri hashibi wanapogawana chakula nusu bin nusu. Anabuni mbinu za kujishibisha.
Je, mbinu hizo zitafaulu ama zitagonga mwamba?
KES 420
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect