Jinsi tumbiri alivyopata manyoya

by Story Moja

by Kerubo


Tumbiri na Binadamu ni marafiki wa kufa kuzikana. Wanaishi katika nyumba moja wakipika na kula pamoja. 
Tumbiri hashibi wanapogawana chakula nusu bin nusu. Anabuni mbinu za kujishibisha. 
Je, mbinu hizo zitafaulu ama zitagonga mwamba?
 

ISBN: 9789966621108 SKU: 2010143001017
KES 420
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect

Reviews

This product does not have any reviews yet.

Add your review