Kaponea Chupuchupu


Bunduki yake Hassan Ngunda, mkuu wa walinda wanyamapori katika mbuga ya Tsavo Magharibi, imetoweka kiajabu kutoka chumba chake cha kulala. Wakati huo huo, mwanawe Fadhili haonekani. Ni kipi kimetokea? Msako mkali unaanzishwa, na punde si punde unawaelekeza polisi kwenye `mwizi' wa bunduki pamoja na genge hatari la wawindaji haramu...

KES 246
International delivery
Free delivery on orders over Ksh 2,000
Free click & collect
UPC2010143000005
Author Akberali manji
ISBN 9789966471363
SKU2010143000005

Reviews

Leave a product review
or cancel